Ufunuo wa Yohana 19 : 6 Revelation chapter 19 verse 6

Swahili English Translation

Ufunuo wa Yohana 19:6

Nikasikia sauti kama sauti ya makutano mengi, na kama sauti ya maji mengi, na kama sauti ya radi yenye nguvu, ikisema, Haleluya; kwa kuwa Bwana Mungu wetu, Mwenyezi, amemiliki.
soma Mlango wa 19

Revelation 19:6

I heard something like the voice of a great multitude, and like the voice of many waters, and like the voice of mighty thunders, saying, "Hallelujah! For the Lord our God, the Almighty, reigns!